Zaidi ya watu 200,000 wahudhuria mazishi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis huko mjini Vatican. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda wakubaliana kuandaa rasimu ya makubaliano ya amani ifikapo Mei 2. Rais Donad Trump akutana na Rais Volodymyr Zelensky wafanya mazungumzo ya ana kwa ana huko Vatican.