Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Operesheni za kijeshi za Uganda za mara kwa mara katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hutajwa kuwalenga waasi wa ADF wanaoupinga utawala wa Kampala / Nchini Ujerumani, ubaguzi wa rangi umezoeleka hadi kuonakana jambo la kawaida