Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Kenya, watu wawili wameripotiwa kuuawa na wengine zaidi ya 350 wamejeruhiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tangu tukio la Juni 25 ambapo / Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kijeshi ya NATO wameidhinisha rasmi ongezeko la asilimia 5 ya Pato la Taifa kwa ajili ya matumizi ya ulinzi