Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Joseph Kabila, asema Kongo inaendeshwa kidikteta. Mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine yamesababisha vifo vya watu12. Jeshi la Israel limesema limedungua kombora lililorushwa nchini mwake na waasi wa Houthi wa Yemen.