Moscow na Kiev zimeendelea kushambuliana kwa makombora na droni wakati Mjumbe wa Marekani akikutana hivi leo na rais wa Urusi Vladimir Putin+++Vikosi vya usalama vya India hii leo vimeongeza msako dhidi ya waasi huko Kashmir, baada ya watu 26 kuuawa kikatili mapema wiki hii katika eneo la Pahalgam.