Maelfu ya watu wameendelea kujitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican++Uongozi wa Palestina unaonekana kuchukua hatua za ndani za kurekebisha muundo wake wa kisiasa.