Ikulu ya Kremlin imesema hii leo kwamba Moscow na Washington zinatathmini matokeo ya mazungumzo ya nchi hizo mbili yaliyofanyika Saudi Arabia+++Israel imetangaza hivi leo kuwa itachukua udhibiti wa maeneo zaidi ya Ukanda wa Gaza+++Tanzania - Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko alitoa taarifa za kuwashwa kwa mtambo wa mwisho katika bwawa la kufua umeme la mwl. Julius Nyerere