Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, ameonya kuwa amani haiwezi kumaanisha 'kusalimu amri' linapohusika suala la Ukraine+++Umoja wa Mataifa waunga mkono azimio linaloipendelea Urusi dhidi ya Ukraine+++Viongozi wa Kongo na Burundi wakutana+++Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema kundi lenye silaha lauwa wanakijiji 26 Sudan