Bunge la Ukraine lamuongezea muda Rais Zelenskyy+++Hamas: Israel inakiuka makubaliano kwa kuchelewesha kuachiliwa mafungwa+++Ujerumani - Merz aanza juhudi za kutafuta washirika wa kuunda serikali mpya+++Mkutano wa Kilele wa Kimataifa wa masuala ya Bioanuai kwa lengo la kunusuru viumbe na mimeo ulimwenguni,"COP 16," umeanza tena leo mjini Roma, Italia