Nchini Marekani kampeni za uchaguzi zinagharimu mabilioni ya dola, fedha hizo zinatoka kwa mabwanyenye pamoja na wafanyabiashara++Mfumo maalumu unaosaidia kutoa tahadhari mapema kabla ya majanga, huenda ukayasaidia mataifa kufikia malengo ya Umoja wa Mataifa++Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Nancy Faeser anataka kuanzisha sheria kali ya kuzuia kubeba visu hadharani.