Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amesema Israel na Iran wamekubaliana kusitisha mapigano / hali ya kiakili inayowakumba baadhi ya wanawake baada ya kujifungua, ama Postpartum Psychosis kama unavyojulikana kwa jina la kitaalamu