Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi umeimarishwa katika viunga vya mahakama ya mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na maeneo mengine jijini hapa wakati kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema-Taifa Tundu Lissu ikisikilizwa leo kwa njia ya mtandao//Kenya na China zimeimarisha upya ushirikiano wao wa kidiplomasia.