Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi la waasi la M23 jana Jumatano walitoa tamko la pamoja na kutangaza kuwa wamekubaliana kusitisha mapigano// (Ni rasmi sasa serikali ya Tanzania imeweka zuio la kusafirishwa kwa mazao ya kilimo Kwenda nchi za Malawi na Afrika Kusini// Mvutano kati ya mataifa hasimu ya India na Pakistan umeongezeka kwa kasi.