Mapambano yanaendelea karibu na mji wa Goma, huku taarifa zikielezea kuuliwa kwa gavana wa kijeshi wa jimbo hilo, Jenerali Peter Chirimwami+++Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) imependekeza kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa zaidi ya wabunge 10 kwa matamshi ya chuki.