Makamu wa Rais Kamala Harris amewataka Wamarekani kukataa migawanyiko ya kisiasa na badala yake kuchora kile alichokiita njia mpya ya kusonga mbele+++Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaitembelea Ukraine leo kwa mazungumzo na Rais Volodymyr Zelensky katika kile kinachotizamwa kuwa jitihada za serikali mjini New Delhi kuuonesha ulimwengu kwamba haijachagua upande