Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anayeitembelea Ukraine amemtolea mwito kiongozi wa nchi hiyo, Volodoymyr Zelensky, kufanya mazungumzo na Urusi kwa dhamira ya kumaliza vita ndani ya ardhi ya Ukraine+++Afisa wa kundi la Hamas amemshtumu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin kukataa kuafiki makubaliano ya mwisho ya kufikia mapatano ya kusitisha vita Gaza