Mkutano mkuu wa chama cha Democratic uliingia siku yake ya nne na ya mwisho hapo jana ambapo Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alisubiriwa kwa hamu kutoa hotuba+++Rais mstaafu wa Afrika Kusini na kiongozi wa chama cha uMkhonto weSizwe Jacob Zuma, amemlaumu Rais Cyril Ramaphosa kwa kuongoza chama tawala cha ANC kinyume na malengo ya waanzilishi wa chama hicho