Iran imesema Marekani imevuka "mstari mwekundu" kwa kushambulia vinu vyake vya nyuklia. Wanajeshi 7 wa Uganda kutoka kikosi cha Umoja wa Mataifa wauawa nchini Somalia. Mamia ya watu waandamana kupinga azma ya wanachama wa NATO kuongeza matumizi yao ya ulinzi.