Mzozo kati ya Iran na Israel unazidi kutanuka, baada ya Marekani kuvishambulia vinu vya nyuklia vya Iran mwishoni mwa juma+++Israel yaendeleza mashambulizi Gaza+++Tanzania, jana Jumapili kwa mara ya kwanza Kanisa Katoliki limeanza kutekeleza muongozo wake mpya wa uendeshaji wa shughuli za kanisa hilo (Liturujia)+++habari za michezo