Iran na Marekani zimeanza leo duru ya tano ya mazungumzo juu ya mradi tata wa nyuklia wa Iran huku utawala mjini Tehran ukitahadharisha kuwa kupatikana makubaliano itakuwa suala gumu+++Serikali ya Sudan imekanusha vikali madai mapya ya Marekani kwamba ilitumia silaha za kemikali dhidi ya wapinzani wake wa vikosi vya RSF.