Mwili wa Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Francis kupelekwa katika kanisa la Mtakatifu Petro. Ukraine yamtaka balozi wa China atoe maelezo kuhusu wapiganaji wa China katika jeshi la Urusi. Na Umoja wa Mataifa wakosoa mauaji ya watu kiasi 26 katika eneo la India la Kashmir.