Mwili wa Papa Francis ukiwa kwenye jeneza la wazi, umehamishwa hivi leo hadi kwenye Kanisa la Mtakatifu Peter ambapo maelfu ya watu watapata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho//Nchini Tanzania, wakati jeshi la polisi likunukuliwa na vyombo vya habari kukana kumshikilia Makamu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, CHADEMA, John Heche.