Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis// Taifa la Tanzania limeendelea kukabiliwa na changamoto ya ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani// Madaktari wa Syria ambao wamekuwa wakihudumu Ujerumani wanagharamika kurejea kwao kutoa huduma bila Malipo ili kuujenga upya mfumo wa afya uliovurugwa na vita.