Uingereza imeliita janga la njaa kwenye Ukanda wa Gaza kuwa limetengenezwa kwa makusudi+++Mazungumzo kuhusu mkataba wa nyuklia kati ya Iran na mataifa matatu ya Ulaya yataendelea tena Jumanne ijayo+++Joto la soka limepanda timu ya taifa ya soka ya Kenya Harambee Stars wanachuana na Madagascar katika Robo Fainali ya CHAN 2024.