Mgombea mwenza wa urais nchini Marekani Tim Walz kuuhutubia mkutano mkuu wa chama cha Democratic // Rais Putin wa Urusi akutana na waziri mkuu wa China Li Qiang huku Moscow na Beijing zikiimarisha mahusiano yao // Na Jeshi la Israel lathibitisha kumuua kamanda wa kundi la kijeshi la Fatah