Kiongozi wa upinzani na mwanasiasa mkongwe nchini Kenya Raila Odinga, ametangaza kujiondoa kwenye jukwaa la siasa za Kenya+++Waziri mpya wa mambo ya nje wa Iran Abbas Araghchi anapanga kujisogeza karibu na mataifa ya Magharibi katika wakati ambapo nchi hiyo inakabiliwa na vikwazo vya kimataifa na kutengwa kisiasa