Marekani, Israel, Umoja wa Ulaya pamoja na nchi kadhaa duniani zimelaani shambulizi la mjini Washington, ambalo wafanyakazi wawili wa ubalozi wa Israel nchini Marekani waliuwawa+++Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa wameeleza matumaini mapya kuhusu kupatikana amani ya kudumu kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo