Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Donald Trump kwa mara nyingine aliiitumia ofisi yake ya Oval kumshambulia kiongozi mwingine wa ngazi za juu aliyezuru ofisi hiyo. Na mara hii alikuwa ni Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini / Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini Afrika Kusini umefikia viwango vya kutisha