Ulimwengu na waumini wa Kanisa Katoliki kwa ujumla wake wanaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa kanisa hilo duniani Papa Francis+++Shirika la ulinzi wa raia Gaza limesema mashambulizi kadhaa ya anga ya Israel yaliyoanza tangu alfajiri ya leo yamewauwa takriban watu 25 katika eneo hilo linaloongozwa na Hamas.