Israel yathibitisha kuwa mwili wa mateka mwanamke uliokabidhiwa Ijumaa ni Shiri Bibas. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akanusha kusaini makubaliano yenye upendeleo na Marekani kuhusu madini adimu. Marekani yasema imemuuwa mwanachama mkuu wa kundi la kigaidi la Hurras al-Din